Serikali imezindua mpango unaolenga kukabiliana na ongezeko la matukio ya mimba za utotoni. Mpango huo uliopewa jina la Imarisha Msichana utafanyiwa majaribio katika kaunti 20 zilizochaguliwa ambazo zilipatikana kuwa na kesi nyingi zaidi. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Evelyne Owuoko mwakilishi wa Waziri wa Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi Julius Jwan, alisema kuwa, shule nane kutoka kaunti zilizochaguliwa […]
