Wasichana walio na umri wa miaka kumi na miwili wanalazimishwa kuolewa na kukeketwa (FGM) haswa katika Pembe ya Afrika, huku ukame mkali zaidi katika kipindi cha miaka arobaini ukisukuma familia ukingoni. Idadi kubwa ya watoto wako katika hatari ya kuacha shule nchini Ethiopia, Kenya na Somalia, hii ni kutokana na athari za Ukame n.k. Familia […]
