mtoto.news

Categories
Latest News

WHO Donates 5000 Cartons of Therapeutic Foods to MOH to Curb Child Malnutrition

World Health Organization has donated 5000 cartons of Ready to Use Therapeutic Foods (RTUF) worth ksh 26,389,440 to the ministry of Health in a bid to mitigate child malnutrition. This is aimed to improve nutrition which in turn boost child’s immunity which increases their chances for survival and also their ability to reach their maximum […]

Categories
Climate Change Health Latest News

Watoto wanalia njaa huku viwango vya utapiamlo vinaongezeka

Shirika la misaada la MSF limeripoti ongezeko la asilimia 33 ya wagonjwa wenye utapiamlo katika eneo kubwa la Dadaab baada ya watu kufurika kutoka Somalia iliyokumbwa na ukame. Utapiamlo miongoni mwa watoto umeongezeka, hasa katika mojawapo ya kambi kubwa zaidi za wakimbizi duniani mwaka uliopita huku wasiwasi ukiongezeka kutokana na hali mbaya zaidi katika eneo […]

Categories
Education Latest News

MOE Issues New 2023 School Calendar

The Ministry of Education has issued a new calendar for 2023 school year, announcing several changes from the one previously issued. In a notice, Basic Education Principal Secretary Belio Kipsang said the opening dates for the first term remain unchanged with schools having opened on 23rd January. The PS said the students will begin their […]

Categories
Health Latest News

Sababu Kuu Zinazoleta Mfadhaiko na Dhiki kwa Watoto

Watu wazima wengi hua na mafikira ya kwamba, utoto na ujana ndio wakati ulio na furaha zaidi maishani, ila ukweli ni kwamba, watoto wengi na vijana wana uwezekano mkubwa wa kupata mateso ya dhiki na mafadhaiko ambazo huweza kusababisha unyogovu kwa watoto hao. Uchunguzi unaonyesha kuwa, kwa kila vijana wanne, kuna uwezekano wa kijana mmoja […]

Categories
Health Latest News

WHO Warns of Killer Cough Syrups after 300 Children Fatalities

World Health Organization has raised alarm over killer cough syrups which as caused more than 300 children fatalities in three counters. The children mainly aged under 5 – in the Gambia, Indonesia and Uzbekistan died of acute kidney injury, This a third warning issued by WHO against the use of two types of cough syrups produced in […]

Categories
Latest News

Kamukunji Jua Kali Artisans Offers Free Training on the Craft to Street Children

With an aim to deter street children from entering crime, artisans in Kamukunji’s Jua Kali market in Nairobi has initiated a programme to train street children for free and later offer jobs to them… According to Tom Mboya, Kamukunji Jua Kali Association Secretary General, the skills offered to the urchins will be instrumental in enabling them […]

Categories
Health Latest News

Government to Launch Unique Personal Identifier (UPI) for Newborns

The government through the State Department of Immigration and E-citizen, is set to issue Unique Personal Identifier (UPI) to newborns at birth. In essence the UPI will be the birth certificate number, the Identity Card number and will also serve as death certificate number. UPI can also be adopted as the official reference for a […]

Categories
Education Latest News

Knec Releases Examination Registration Dates

Registration of the 2023 national examinations will begin on February 1 and close on March 31, 2023. This was announced by Kenya National Examinations Council (KNEC) Chief Executive Officer David Njegere last week during the release of the 2022 KCSE results at Mitihani House. “We are opening the portal on the 1st of Feb to […]

Categories
Education Education education Latest News

Vikwazo, Shule Zinapofunguliwa

Shule zote zilizo Afrika Mashariki zinaanza muhula wa kwanza mwaka huu, huku zikikumbatiwa na hali ya kusumbua ya mara kwa mara ya kutafuta rasilimali ili kuhakikisha kwamba, elimu haina gharama kubwa. Kutoka Tanzania hadi Rwanda, Kenya na Uganda, msururu wa vifaa duni vya kujifunzia, walimu, msongamano wa wanafunzi na mkanganyiko wa ada utatawala wiki hii ya […]

Categories
Education Latest News

2022 KCSE; CS Machogu Releases KCSE Results

1,140 out of 841,416 candidates who sat for the Kenya Certificate for Secondary Education, KCSE, exam last year obtained an overall A grade in the just released 2022 KCSE exams. 173,345 candidates scored C+ and above and are qualified for university after meeting the entry grade. This was announced by Education Cabinet Secretary Ezekiel Machogu […]