mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News OCSEA

Kuimarisha Usalama Wa Kidijitali Kwa Watoto

ChildFund International na Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) wametia saini mkataba wa kuhamasisha sekta ya kibinafsi na ya umma kusaidia kuunda mazingira salama ya mtandaoni kwa watoto. Hii inafuatia kuongezeka kwa visa vya unyonyaji na unyanyasaji wa watoto mtandaoni kupitia teknolojia ya kidijitali. ChildFund inaongoza msukumo wa sera na sheria za kukomesha unyanyasaji wa […]