Mtoto yeyote aliye chini ya miaka 12 nchini Kenya sasa anachukuliwa kuwa hana uwezo wa kutenda kosa la jinai. Tangu mwaka wa 2001, Kenya imepata maendeleo makubwa katika kukuza haki za watoto, ikiwa ni pamoja na kuweka sera, mifumo na miundo ya kusaidia malezi ya watoto, ulinzi na ushiriki. Hata hivyo, bado kumekuwa na mapungufu […]
