Mwanamke mmoja na watoto wake wawili wenye umri wa miaka miwili, na mwengine minane wameuawa kwa kupigwa risasi na wavamizi katika kijiji cha mbali katika kaunti ndogo ya Merti, Isiolo. Shambulizi hilo lilitendeka hapo jumamosi tarehe 18 mwezi juni, katika eneo la Dogogicha mwendo wa saa 5.30 asubuhi. Jirani aliyetoka nje ili kutafuta punda wake […]
Isiolo: Mauaji ya watoto Wawili