mtoto.news

Categories
latest latest Latest News Uncategorized

Mombasa: Baba achoma nyumba baada ya kuwanyonga wanawe wawili

Familia moja mjini Mombasa inaomboleza kifo cha watoto wawili wanaodaiwa kunyongwa hadi kufa na baba yao na kuchomwa ndani ya nyumba yao eneo la Bombolulu Workshop. Jason Chacha, mzee wa miaka 55 na baba wa watoto watatu wanasemekana kuwaua watoto hao wawili wenye umri wa miaka 4 na 8 mtawalia Jumatatu saa 2 asubuhi alafu […]