mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

UNICEF Launches the International Classification of Violence Against Children

To help properly document violence against children, UNICEF has developed the International Classification of Violence against Children (ICVAC) with inputs from over 200 experts from national statistical offices, academia, and international organizations. This, the agency says, will help combat lack of available and comparable data that covers the many complex forms of violence which have […]

Categories
Child Rights

Watoto 3 Kati Ya Watu Wanane Waliouawa Katika Shambulio La Majambazi La Marsabit

Watoto watatu ni miongoni mwa watu wanane waliouawa katika kijiji cha Yell Kurkum huko Laisamis, Kaunti ya Marsabit. Kulingana na polisi, washambuliaji walifyatua risasi na kuwaua wanane hao ambao kati yao kulikuwa na wanaume watano, pamoja na watoto watatu. Kamanda wa polisi wa Mashariki Rono Bunei anasema kuwa, takriban majambazi 15 waliokuwa na bunduki walivamia […]

Categories
Uncategorized

Ongezeko la unyanyasaji wa kijinsia na kesi za mauaji ya wanawake

Unyanyasaji wa kijinsia na kesi za mauaji ya wanawake zinaendelea kuongezeka nchini Afrika Kusini huku wanaume “wakatili” nchini humo wakiwalenga watoto na wanawake wazee. “Katika siku za hivi majuzi tumeona visa vya ubakaji na mauaji ya vikongwe, mama na nyanya zetu ambao wanakusudiwa kuheshimiwa na kutendewa utu,” Rais wa nchi hiyo Cyril Ramaphosa, asema. Ameyazungumza […]

Categories
Uncategorized

Tuwalinde watoto dhidi ya ukatili

Ndani ya mwaka mmoja, takriban watoto bilioni moja wananyanyaswa kote ulimwenguni. Kila mwanadamu, bila kujali kabila, cheo, dini, elimu, au hali yoyote ile, ana haki ya kuishi katika ulimwengu wenye amani na usio na kila aina ya vurugu. Hata hivyo, kuna haja ya dharura ya kuchukuliwa kwa hatua zaidi za kuzuia na kukabiliana na tishio […]

Categories
Latest News

Nigeria Agrees to End Child Military Detention

Friday 30th September 2022, the Nigerian government finally signed a “handover protocol” with the UN agreeing that children taken into military custody on suspicion of involvement with Boko Haram should be transferred within seven days to civilian authorities for reintegration. This is an important milestone that will help prevent the military detention of children and ensure […]