mtoto.news

Categories
Health Uncategorized

Syria:Mlipuko wa kipindupindu wahatarisha Afya na Elimu ya Watoto

Shirika la Save the Children, lasema kwamba, maelfu ya watoto huko mashariki na kaskazini mwa Syria wako hatarini kutokana na kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa kipindupindu unaosababishwa na uhaba wa maji unaohusishwa na mabadiliko ya hali ya hewa na migogoro na matumizi ya maji machafu kutoka Mto Euphrates. Takriban watu 24 wamefariki kutokana na […]