Students in areas stricken by drought and famine in Tana River will be admitted in low-cost boarding schools to mitigate pupils dropping out of due to migration of families. This was said by county Director of Education Khalif Sheikh adding that Children were reported dropping out of school in Tana North,Bura and Upper Galole sub-counties. […]
Category: Education
Naibu Rais Rigathi Gachagua amethibitisha kuwa Mtaala wa Kuzingatia Umahiri (CBC) hautafutiliwa mbali. Akizungumza Jumatano katika Taasisi ya Utafiti ya Cemastea, Gachagua alisema kwamba, serikali itaboresha zaidi CBC. “CBC haiendi popote, haijafutwa bali itaboreshwa tu,” alisema. Aliongoza uzinduzi wa siku tatu za kuanzishwa kwa Kikosi Kazi cha Marekebisho ya Elimu. Jopokazi la wanachama 49 liliundwa na Rais William […]
Gachagua; CBC is Here to Stay
Deputy President Rigathi Gachagua yesterday said the government will not scrap the competency-based curriculum (CBC). This has come after long speculation on what would happen to the curriculum pioneered by the previous government. He was speaking at the Centre for Mathematics, Science and Technology Education (CEMASTEA) in Karen, Nairobi during the induction of 49 members […]
Chama cha Shule za Kimataifa cha Kenya (KAIS) kwa ushirikiano na kampuni ya Education Technologies, Kodris Africa na Kenya Commercial Bank waliitisha kongamano la ujuzi wa Kidijitali mnamo Alhamisi lililowaleta pamoja wadau mbalimbali kutoka sekta ya elimu na ICT. Tukio hilo lilijikita katika mtaala wa kompyuta na usimbaji (coding)na umuhimu wa kujumuisha ujuzi wa kidijitali […]
Most of us if not all have gone through the hands of teachers who molded us into wonderful human beings by doing tremendous and tedious work. Although they are paid, it can never be enough as they do more than they are paid for. Their commitment and zeal to bring out the best in our […]
During his tour in Homabay County, President Ruto pointed out that after a thorough public participation the 42-member taskforce committee formed to assess the CBC curriculum will ensure they make changes in the curriculum. “I formed a special taskforce to look into the CBC curriculum so that the curriculum can help our children and also […]
Prudential PLC imeshirikiana na kituo cha TV cha watoto cha Akili Kids, ili kutoa ujuzi wa kifedha kwa watoto nchini Kenya, hasa walio na umri wa miaka 7 hadi 12, kwa mnamo wa kila wiki. Mpango huo mpya umezinduliwa kupitia shirika la CSR la kampuni, Prudence Foundation huku ukilenga kufikia zaidi ya watoto milioni sita. […]
Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]
Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]
Directorate of children services representative Charles Ondongo, leads pupils of Mukuru Primary School, Nairobi, in the official launch of the Safe Community Linkages for Internet Child Safety (Safe CLICS) programme. Photo courtesy of ChildFund Kenya. ChildFund Kenya has launched Ksh 115 million project to help fight Online Child Sexual Exploitation and Abuse (OCSEA) in […]