mtoto.news

Categories
Education Education education latest latest Latest News

President Ruto Announces School Reopening on Monday, May 13, 2024

President William Ruto has ordered the reopening of all schools on Monday, May 13, 2024. This decision comes as weather forecasts show an improvement, indicating a decrease in heavy rains that had previously caused the postponement of school reopening. Simultaneously, President Ruto has mandated that funds for the reconstruction of school infrastructure damaged by heavy […]

Categories
Education Education education latest latest Latest News

Ruto: Kenya kuanzisha mafunzo ya lugha ya Kijerumani shuleni

Rais William Ruto ametangaza kuwa kutoka sasa, taasisi za mafunzo zitafunza lugha ya Kijerumani. Akizungumza wakati wa vyombo vya habari vilivyofanyika Ikulu, Nairobi, mkuu wa nchi alisema hatua hiyo itawezesha nchi hizo mbili kuziba pengo la lugha.  “Tulikubaliana kuanzisha ufundishaji na ujifunzaji wa Kijerumani katika taasisi za elimu ya msingi, TVET na taasisi zingine za […]

Categories
Child Rights FGM Health

Ruto Aahidi Kutokomeza Ukeketaji

  Rais William Ruto amesisitiza dhamira ya serikali ya Kenya Kwanza katika kutokomeza ukeketaji hadi mwisho wa kipindi chake. Akizungumza siku ya Jumatatu, Ruto amesema kwamba, kesi za ukeketaji katika kipindi chake zitaondolewa. “Ninakubaliana na CJ Martha Koome kwamba hatufai kuwa na mazungumzo kuhusu ukeketaji nchini Kenya katika Karne ya 21,” alisema. “Ninataka kuwahakikishia  uungwaji […]

Categories
Education

Ruto Pledges Internet Connectivity in all primary Schools by 2030

President William Ruto on Friday said all primary schools will have internet connectivity by 2030. The project is set to benefit about 40,000 children and aims to boost to the country’s education system. He said the move would instill digital literacy among children preparing them for workplace environment. “Access to internet in schools remains a […]

Categories
Education Education education

President Ruto’s taskforce to assess the CBC

During his tour in Homabay County, President Ruto pointed out that after a thorough public participation the 42-member taskforce committee formed to assess the CBC curriculum will ensure they make changes in the curriculum. “I formed a special taskforce to look into the CBC curriculum so that the curriculum can help our children and also […]

Categories
Latest News

Children bear the brunt of climate change

  While the world continues to live with the coronavirus disease, the region of West, East and Central Africa is still challenged by many conflicts, and soon the problem of hunger that fundamentally threatens the future of millions of girls and children. After many years of pushing for the full right to access quality and […]

Categories
Latest News

Ruto Ahimiza Juhudi Zilizojumuishwa ili Kupunguza Athari za Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Mabadiliko ya hali ya hewa nchini Kenya yanaendelea kuwaathiri watoto huku wengi wao wakikabiliwa na utapiamlo mkali unaohitaji matibabu ya haraka. Akiongea wakati wa hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa huko New York, Mheshimiwa William Ruto aligusia jinsi maisha ya wananchi yamezorota, haswa baada ya Covid-19 na jinsi mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Education Education education latest latest Latest News

Ni Ipi Hatima ya CBC Baada ya William Ruto Kuapishwa?

Hatima ya Mtaala Unaozingatia Umahiri (CBC) sasa iko kwenye jopokazi litakaloanzishwa wiki ijayo na Rais mpya William Ruto ambaye alichukua uongozi Jumanne. Ruto alisema kwamba, ataunda Kikosi maalum ili kubaini utendakazi wa mpango huo uliozinduliwa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta mnamo 2018. Mpango huo umekosolewa vikali na washikadau ambao walishutumu utawala wa Kenyatta kwa kukosa […]