mtoto.news

Categories
Latest News

Children bear the brunt of climate change

  While the world continues to live with the coronavirus disease, the region of West, East and Central Africa is still challenged by many conflicts, and soon the problem of hunger that fundamentally threatens the future of millions of girls and children. After many years of pushing for the full right to access quality and […]

Categories
Latest News

Ruto Ahimiza Juhudi Zilizojumuishwa ili Kupunguza Athari za Mabadiliko ya Hali ya Hewa.

Mabadiliko ya hali ya hewa nchini Kenya yanaendelea kuwaathiri watoto huku wengi wao wakikabiliwa na utapiamlo mkali unaohitaji matibabu ya haraka. Akiongea wakati wa hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa huko New York, Mheshimiwa William Ruto aligusia jinsi maisha ya wananchi yamezorota, haswa baada ya Covid-19 na jinsi mabadiliko ya hali ya […]

Categories
Data Stories Latest News

Hatua Za Kuhakikisha Usalama wa Watoto walio Katika Jamii Zilizoathiriwa na Hali ya Hewa.

Takriban watoto bilioni moja walio na umri wa miaka 2-17 huathiriwa na ukatili wa kimwili, kingono, au kihisia kila mwaka.