mtoto.news

Categories
Child Rights Health Uncategorized

Ukosefu wa Vifaa vya Kutosha vya Kusaidia na Kuhudumia Watoto Walio na Tawahudi

Wadau na wazazi walio na watoto walioathiriwa na usonji wamejitokeza na kutoa wito kwa serikali ya kitaifa na kaunti kuweka vifaa vitakavyowahudumia na kusaidia katika maendeleo ya watoto hao. Akihutubia wanahabari huko Uriri wakati wa Siku ya Autism Duniani, Caroline Kisuge wa Jonathan Rays of Hope alisema kuwa nchi haina vifaa vya kujifunzia ambavyo vinaweza […]

Categories
Health Latest News

One in 68 children in Kenya Suffers Autism-Lobby

One in 68 children is affected by the Autism spectrum disorder in Kenya according to a consortium of rights groups. Badili Africa, Usikimye and Oxfam Kenya said it is one of the fastest-growing developmental disorders among children. Although people are becoming more aware of autism, they said, there is still a lot of misinformation about the […]