Kiongozi wa madhehebu ya kidini nchini Kenya anayedaiwa kuwachochea wafuasi kufa kwa njaa anakabiliwa na mashtaka ya ziada ikiwemo ugaidi na ulanguzi wa watoto. Aliyejiita kasisi Paul Nthenge Mackenzie, ambaye alianzisha kanisa la Good News International Church mwaka wa 2003, alifikishwa mahakamani siku ya Jumanne. Nthenge anashtakiwa kwa kuchochea wafuasi kufa njaa ili “kumlaki Yesu”. […]
Tag: child abuse

An ex-Director of a Children’s home situated in Mihango in Nairobi’s Utawala area has been sentenced to 100 years imprisonment for defiling four minors for seven years. All the minors were below thirteen years old at the time of the act. Stephen Nzuki Mutisya, 29, was found guilty by the Milimani Law Courts in Nairobi […]