mtoto.news

Categories
Stories by Children

Sexual Abuse in School; The Silent Suffering of Nkirote

The rise in incidents of reported crimes of a sexual nature and the periodic mass sexual violence directed at girls and boys within learning institutions attest to threatened sexual safety in Kenyan schools today. Sexual abuse refers to any unwanted sexual activity or behavior that is forced upon someone without their consent. It can involve […]

Categories
Child Rights Latest News

Familia Yalilia Haki Baada ya Msichana Kunajisiwa na Genge la Watu 6

Familia moja kutoka Kaunti ya Homa Bay, eneo bunge la Ndhiwa, inatafuta haki kwa binti yao mwenye umri wa miaka 17 anayedaiwa kunajisiwa na kundi la wanaume sita. Mwathiriwa kwa sasa amelazwa katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Kaunti ya Homa Bay ambapo alikimbizwa akiwa na majeraha baada ya kisa hicho kilichotokea Jumatatu usiku […]

Categories
Child Rights

Mambo Kumi Kuhusu Unyanyasaji wa Watoto

Unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto kwa bahati mbaya ni mwiko kwenye jamii zetu, na mara nyingi, hakuna anayejadili suala hili licha ya kuenea kwake katika jamii. Walakini, wakati tutakapojitahidi kuleta mwanga kwenye ukweli huu, basi tutaweza kuokoa watoto wengi mno. Tafadhali soma mambo haya kumi, yaliyo na ukweli kuhusu unyanyasaji wa kingono kwa watoto, na […]

Categories
Child Rights

Kifungo cha Maisha kwa Kosa la Kunajisi Mtoto Nchini Kenya

Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu ya Kenya inaonyesha kuwa msichana mmoja kati ya wanne na mvulana mmoja kati ya kila mvulana tisa hudhulumiwa kingono kabla ya kufikisha umri wa miaka 18. Ripoti hiyo pia inafichua kuwa ni asilimia 41 tu ya wanawake na asilimia 39.2 ya wanaume waliokumbana na aina yoyote ya ukatili ndio walioweza […]

Categories
Data Stories

Tujitahidi Kutengeneza Mazingira Salama Ambapo Watoto Wanaweza Kujifunza na Kukua

Suala la changamoto za ulinzi wa watoto katika jamii na shule ni jambo la kusikitisha mno, kwani mara nyingi wanafunzi ndio waathiriwa, huku wahusika wakuu wakiwa walimu wao. Kati ya mwaka wa 2014 na 2019, takriban walimu 125 kwa mwaka waliachishwa kazi na Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kwa sababu ya unyanyasaji wa kijinsia […]

Categories
latest latest Latest News

Former Children’s Home Director Jailed for 100 Years Over Four Counts of Minor Defilement

An ex-Director of a Children’s home situated in Mihango in Nairobi’s Utawala area has been sentenced to 100 years imprisonment for defiling four minors for seven years. All the minors were below thirteen years old at the time of the act. Stephen Nzuki Mutisya, 29, was found guilty by the Milimani Law Courts in Nairobi […]