Education serves as the cornerstone of societal growth, empowering individuals with essential knowledge and skills for personal and collective advancement. In many countries, Kenya included, the education sector operates within a complex web of laws and regulations. This article delves into the intricate challenges posed by overlapping responsibilities and inconsistencies in the management of public […]
Tag: Kenya
Shule za kutwa jijini Nairobi, Mombasa na Kisumu zimefungwa kwanzia Jumatano, Julai 19, 2023, kabla ya uanzishi wa maandamano wa siku tatu mfululizo wa kuipinga serikali ambayo mara nyingi yamekuwa na vurugu. Katika taarifa ya pamoja ya Jumanne, Julai 18, 2023, Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Elimu Ezekiel Machogu na Waziri wa Mambo ya […]
Mwinjilisti aliye na utata nchini Kenya, ameondolewa mashtaka ya ulanguzi wa watoto kutokana na ukosefu wa ushahidi wa kutosha. Hakimu wa Kenya alieleza kwamba, upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kuwa Gilbert Deya aliwaiba watoto watano miongo miwili iliyopita, . Mwinjilisti huyo alishutumiwa kwa kuwakabidhi watoto hao kwa wanawake waliokuwa wakihangaika kupata mimba. Mchungaji huyo alihamishwa […]
Is it safe to say that the future of African leaders is hanging on by a thread? Before we go any further, let’s define our terms. In this context, I use the word “future” to refer to the young generation of Africa, specifically Generation Z, Alpha, and those who will come after them. I am […]
Dkt Marion Karimi ambaye anaendesha kituo cha uokoaji na ukarabati wa watoto walemavu alikashifu kuwa katika miaka ya hivi majuzi idadi ya watoto wenye matatizo ya kimwili imekuwa ikiongezeka. Karimi ambaye kwa sasa anakarabati watoto 177 walemavu waliookolewa kutoka sehemu tofauti za nchi alibainisha kuwa watoto hao huwa wanatumiwa vibaya na watu wasiojulikana ili kuomba […]
Zaidi ya wanafunzi 12,000 wenye uhitaji kutoka kaunti za Marsabit, Isiolo, Samburu na Laikipia watanufaika na ufadhili kutoka kwa shirika la Northern Rangeland Trust (NRT) ili kufadhili elimu yao. Afisa mkuu mtendaji wa NRT Tom Lalampaa alisema kuwa, shirika hilo litatumia milioni Sh78.5 kwa wanafunzi 12,557 wanaohitaji. Bw Lalampaa alisema kuwa, wahafidhina 18 wametanguliza elimu […]
IDARA ya Huduma kwa Watoto katika Kaunti ya Samburu imeanza juhudi za kuunda Sera ya Ulinzi wa Mtoto ambayo inawiana na changamoto za kipekee zinazowakabili watoto. Akizungumza wakati wa mkutano wa uzinduzi wa Mtandao wa Ulinzi wa Mtoto wa Samburu (CPN), Afisa wa Watoto wa Samburu Peter Mwangi alisema kuwa uundaji wa CPN unalenga kuwaleta […]
Wakati migogoro inapotokea, basi watoto ndio waumiao zaidi. Jumatatu tarehe 20 2023 wiki iliyopita, kiongozi wa upinzani Raila Odinga, aliitisha Maandamano ya nchi nzima ili kupinga kupanda kwa gharama ya maisha nchini Kenya na ushindi wa rais William Ruto katika uchaguzi. Ikifwatia habari inayosema kwamba mwanafunzi wa chuo kikuu aliuawa huku zaidi ya watu 200 […]
Mahakama ya Nairobi imeahirisha kesi ya wizi wa watoto dhidi ya Askofu Gilbert Juma Deya baada ya hakimu wa mahakama kusema alikuwa mgonjwa. Deya, ambaye alifika mbele ya hakimu mkuu mwandamizi wa Milimani Robison Ondieki hapo jana, alikuwa tayari kwa kusikilizwa na kujitetea pamoja na wakili wake John Swaka. Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali Nicholas […]
Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu ya Kenya inaonyesha kuwa msichana mmoja kati ya wanne na mvulana mmoja kati ya kila mvulana tisa hudhulumiwa kingono kabla ya kufikisha umri wa miaka 18. Ripoti hiyo pia inafichua kuwa ni asilimia 41 tu ya wanawake na asilimia 39.2 ya wanaume waliokumbana na aina yoyote ya ukatili ndio walioweza […]