mtoto.news

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Kenyan Catholic Church Supports Phase-Out of Children’s Institutions for Family-Based Care

According to the Standard News paper,the Catholic church has joined the list of stakeholders supporting the plan to phase out Charitable Children’s Institutions (CCIs) and transition children to family-based and community care. Archbishop Martin Kivuva(outgoing chairperson of the Kenya Conference of Catholic Bishops (KCCB)), said the Catholic church embraced the new law under the National […]

Categories
Education Education education

Revamping Education Governance for a Unified and Effective System

Education serves as the cornerstone of societal growth, empowering individuals with essential knowledge and skills for personal and collective advancement. In many countries, Kenya included, the education sector operates within a complex web of laws and regulations. This article delves into the intricate challenges posed by overlapping responsibilities and inconsistencies in the management of public […]

Categories
Child Rights Education Latest News

Nairobi, Mombasa, Kisumu: Serikali yafunga shule za kutwa kutokana na maandamano

Shule za kutwa jijini Nairobi, Mombasa na Kisumu zimefungwa kwanzia Jumatano, Julai 19, 2023, kabla ya uanzishi wa maandamano wa siku tatu mfululizo wa kuipinga serikali ambayo mara nyingi yamekuwa na vurugu. Katika taarifa ya pamoja ya Jumanne, Julai 18, 2023, Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Elimu Ezekiel Machogu na Waziri wa Mambo ya […]

Categories
Latest News

Gilbert Deya: Mchungaji kutoka Kenya afutiwa mashtaka ya ulanguzi wa watoto

Mwinjilisti aliye na utata nchini Kenya, ameondolewa mashtaka ya ulanguzi wa watoto kutokana na ukosefu wa ushahidi wa kutosha. Hakimu wa Kenya alieleza kwamba, upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kuwa Gilbert Deya aliwaiba watoto watano miongo miwili iliyopita, . Mwinjilisti huyo alishutumiwa kwa kuwakabidhi watoto hao kwa wanawake waliokuwa wakihangaika kupata mimba. Mchungaji huyo alihamishwa […]

Categories
Latest News Stories by Children

Unmasking the Truth: The Harsh Reality of African Leadership

Is it safe to say that the future of African leaders is hanging on by a thread? Before we go any further, let’s define our terms. In this context, I use the word “future” to refer to the young generation of Africa, specifically Generation Z, Alpha, and those who will come after them. I am […]

Categories
Latest News

Kenya: Wasiwasi Juu ya Mmiminiko wa Watoto Walemavu Mijini

Dkt Marion Karimi ambaye anaendesha kituo cha uokoaji na ukarabati wa watoto walemavu alikashifu kuwa katika miaka ya hivi majuzi idadi ya watoto wenye matatizo ya kimwili imekuwa ikiongezeka. Karimi ambaye kwa sasa anakarabati watoto 177 walemavu waliookolewa kutoka sehemu tofauti za nchi alibainisha kuwa watoto hao huwa wanatumiwa vibaya na watu wasiojulikana ili kuomba […]

Categories
Child Rights Education Education education

Mashirika Ya Hifadhi Kutumia Sh78 Milioni Kwa Watoto Wanaoishi Katika Mazingira Magumu

Zaidi ya wanafunzi 12,000 wenye uhitaji kutoka kaunti za Marsabit, Isiolo, Samburu na Laikipia watanufaika na ufadhili kutoka kwa shirika la Northern Rangeland Trust (NRT) ili kufadhili elimu yao. Afisa mkuu mtendaji wa NRT Tom Lalampaa alisema kuwa, shirika hilo litatumia milioni Sh78.5 kwa wanafunzi 12,557 wanaohitaji. Bw Lalampaa alisema kuwa, wahafidhina 18 wametanguliza elimu […]

Categories
Child Rights FGM Uncategorized

Sera Ya Ulinzi Wa Watoto Katika Kaunti Ya Samburu Yaendelea

IDARA ya Huduma kwa Watoto katika Kaunti ya Samburu imeanza juhudi za kuunda Sera ya Ulinzi wa Mtoto ambayo inawiana na changamoto za kipekee zinazowakabili watoto. Akizungumza wakati wa mkutano wa uzinduzi wa Mtandao wa Ulinzi wa Mtoto wa Samburu (CPN), Afisa wa Watoto wa Samburu Peter Mwangi alisema kuwa uundaji wa CPN unalenga kuwaleta […]

Categories
Child Rights Education Latest News

Watoto Wasishirikishwe Kwenye Maandamano

Wakati migogoro inapotokea, basi watoto ndio waumiao zaidi. Jumatatu tarehe 20 2023 wiki iliyopita, kiongozi wa upinzani Raila Odinga, aliitisha Maandamano ya nchi nzima ili kupinga kupanda kwa gharama ya maisha nchini Kenya na ushindi wa rais William Ruto katika uchaguzi. Ikifwatia habari inayosema kwamba mwanafunzi wa chuo kikuu aliuawa huku zaidi ya watu 200 […]

Categories
Child Rights Latest News

Kesi ya Wizi wa Watoto Dhidi ya Deya imesogezwa hadi Aprili

Mahakama ya Nairobi imeahirisha kesi ya wizi wa watoto dhidi ya Askofu Gilbert Juma Deya baada ya hakimu wa mahakama kusema  alikuwa mgonjwa. Deya, ambaye alifika mbele ya hakimu mkuu mwandamizi wa Milimani Robison Ondieki hapo jana, alikuwa tayari kwa kusikilizwa na kujitetea pamoja na wakili wake John Swaka. Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali Nicholas […]