mtoto.news

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Kenyan Catholic Church Supports Phase-Out of Children’s Institutions for Family-Based Care

According to the Standard News paper,the Catholic church has joined the list of stakeholders supporting the plan to phase out Charitable Children’s Institutions (CCIs) and transition children to family-based and community care. Archbishop Martin Kivuva(outgoing chairperson of the Kenya Conference of Catholic Bishops (KCCB)), said the Catholic church embraced the new law under the National […]

Categories
Child Rights

Je, Malezi ya Watoto Katika Jamii ni Bora Kuliko Katika Nyumba za Hisani za Watoto?

Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Mtoto katika utangulizi wake unasema “…mtoto, kwa ajili ya ukuaji kamili na wenye uwiano wa utu wake, anapaswa kukua katika mazingira ya familia, katika mazingira ya furaha, upendo na uelewano”. Haki hii imesalia kuwa ngumu kwa takriban watoto 40,000 ambao wanaripotiwa kuhifadhiwa katika taasisi za watoto za […]

Categories
Uncategorized

Je malezi ya mtoto nyumbani ni bora kuliko ya taasisi za watoto?

Kwa Sheria mpya ya Watoto na miongozo, serikali inadokeza kwamba familia ni mazingira ya malezi na ya kujali na ni mahali pazuri pa kumlea mtoto. Hivi sasa kuna usitishaji wa usajili wa taasisi mpya na Sheria ya Mtoto, 2022 inayotoa kipaumbele kwa matunzo mbadala ya kifamilia, tofauti na kukuzwa kwa watoto katika Makazi ya Watoto. […]