mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

Mipango ya Kuondoa makazi ya watoto na yatima imeng’oa Nanga

  Mkakati wa Marekebisho ya Utunzaji uliopangwa wa miaka 10 unalenga kutoa masuluhisho mbadala kwa malezi ya watoto na kutilia mkazo ukweli kwamba familia itasalia kuwa kitengo muhimu katika malezi ya mtoto.   Mkurugenzi msaidizi anayeshughulikia Malezi na Mageuzi katika Kurugenzi ya Huduma za Watoto Jane Munuhe amesema kwamba, serikali imetunga sheria mpya. Akizungumza mjini […]

Categories
Uncategorized

Je malezi ya mtoto nyumbani ni bora kuliko ya taasisi za watoto?

Kwa Sheria mpya ya Watoto na miongozo, serikali inadokeza kwamba familia ni mazingira ya malezi na ya kujali na ni mahali pazuri pa kumlea mtoto. Hivi sasa kuna usitishaji wa usajili wa taasisi mpya na Sheria ya Mtoto, 2022 inayotoa kipaumbele kwa matunzo mbadala ya kifamilia, tofauti na kukuzwa kwa watoto katika Makazi ya Watoto. […]