mtoto.news

Categories
Child Rights Education Latest News

Watoto Wasishirikishwe Kwenye Maandamano

Wakati migogoro inapotokea, basi watoto ndio waumiao zaidi. Jumatatu tarehe 20 2023 wiki iliyopita, kiongozi wa upinzani Raila Odinga, aliitisha Maandamano ya nchi nzima ili kupinga kupanda kwa gharama ya maisha nchini Kenya na ushindi wa rais William Ruto katika uchaguzi. Ikifwatia habari inayosema kwamba mwanafunzi wa chuo kikuu aliuawa huku zaidi ya watu 200 […]