mtoto.news

Categories
Child Rights Health Latest News

77 % of Teenage Pregnancies in Korogocho are Unintended-Research

About 77 percent of pregnant teenage mothers in Korogocho slums reported having unintended pregnancies in a research conducted by the African Population Health and Research Centre. Approximately 72 percent were single and 49 percent were still in school at the time they became pregnant for the first time. Most girls first had sex while still […]

Categories
Data Stories Health Latest News

110,821 Adolescent Pregnancies reported between January-May 2023

110,821 adolescents between ages 10 to 19 years got pregnant between January and May 2023 according to data released by Kenya Health Information Systems. Among 110,821 cases, 6,110 were among adolescents aged between 10 to 14 years while another 104,711 were between the ages of 15 and 19. This is an improvement from 2022 where […]

Categories
Education Uncategorized

Je elimu ya ngono ni muhimu kwa watoto?

  Kulingana na Utafiti wa Demografia na Afya wa Kenya wa 2022, asilimia 15 ya wasichana wenye umri wa kati ya miaka 15 na 19 wamewahi kupata mimba. Takwimu hii huongezeka kila wanakuwa wakubwa kutoka asilimia 3 kati ya watoto wa miaka 15 hadi asilimia 31 kati ya wale wenye umri wa miaka 19. Hii […]

Categories
Child Rights Education

Zaidi ya watahiniwa 300 wajawazito kukalia mitihani ya kitaifa

Takriban wasichana 317 wajawazito ni miongoni mwa maelfu ya watahiniwa wanaofanya mtihani wa Kutathmini Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA) na Cheti cha Elimu ya Msingi ya Kenya (KCPE) katika kaunti za South Rift.  Jumla ya watahiniwa 292 wajawazito wanatoka katika kaunti ya Baringo, Bomet na Narok, huku wasichana  25 wajawazito wanatoka katika kaunti […]

Categories
Education

Lamu: Hofu baada ya mimba za mapema kushika kasi

Mimba za mapema sio jambo geni nchini Kenya, ila kwa sasa, wakaazi wa maeneo ya Hindi huko Lamu wameonya hofu na wasiwasi mkuu baada ya wanafunzi sita kutoka shule ya upili ya Hindi kupachikwa mimba kwa pamoja. Kulingana na citizen, Wasichana wadogo wanapitia dhulma mbali mbali maeneo ya Hindi ikiwemo kupachikwa ujauzito wa mapema, – […]