mtoto.news

Categories
latest latest Latest News

Mtoto wa Miaka Mitatu Aliyetoweka Malindi Apatikana Akijaribu Kuvushwa Mpaka

  Written by Alice Njoki         Mtoto wa miaka mitatu aliyeripotiwa kupotea tarehe 13 Februari 2026 kutoka nyumbani kwao Malindi Central, Kaunti ya Kilifi, amepatikana salama karibu na mpaka wa Kenya na Tanzania baada ya wazazi wake kutoa taarifa kwa maafisa wa upelelezi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa maafisa wa Idara […]

Categories
Data Stories Latest News

Akamatwa kwa Tuhuma za Usafirishaji Haramu wa Watoto

Polisi nchini Nigeria wamemkamata mwanamke mwenye umri wa miaka 44 kwa tuhuma za wizi wa watoto 15 katika jimbo la kusini la Rivers. Polisi wanasema kwamba, watoto hao walitekwa nyara ili kuuzwa na mwanamke huyo , ambaye alidai kuwa yeye ni mtawa anayeendesha kituo cha watoto yatima. Watoto hao wanaripotiwa kuwa na umri wa kati […]