Wizara ya afya nchini humo imesema kwamba, idadi ya vifo vya watoto vilivyotokana na Ugonjwa huo vimeongezeka hadi karibia 700.

Wizara ya afya nchini humo imesema kwamba, idadi ya vifo vya watoto vilivyotokana na Ugonjwa huo vimeongezeka hadi karibia 700.
mlipuko wa surua nchini Zimbabwe umewaua watoto 157, wengi wao wakiwa hawajachanjwa kutokana na imani za kidini za familia zao.