mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

Children make up 60% of all Bodies Exhumed in Shakahola

Sixty percent of bodies being exhumed in Shakahola forest are those of children a report privy to our newsroom indicates. This was echoed by Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki three weeks ago when he visited the crime scene in Kilifi County. Currently, 133 bodies have been exhumed as the government embarks on the second phase […]

Categories
Child Rights

Ulinzi wa Mtoto Lazima Upewe Kipaumbele

Watoto hupitia aina kadha wa kadha za ukatili, unyonyaji na hata unyanyasaji. Hutokea katika kila nchi, na katika maeneo ambayo watoto wanapaswa kulindwa zaidi, aidha ni majumbani mwao, shuleni na hata mitandaoni. Wakaazi wa jamii ya Samia katika Kaunti ya Busia wamehimizwa kuweka kipaumbele ulinzi wa watoto ili kupunguza visa vya unyanyasaji wa watoto na […]