mtoto.news

Categories
Uncategorized

Safe Online Invests $4M to Generate Evidence on Tackling OCSEA

Safe Online is set to invest $4 million for generating crucial data and evidence to tackle online child sexual exploitation and abuse (OCSEA). This initial investment will be followed by an additional $1.5 million for evaluations of the projects in the next quarter. This project intends to inform solutions for the tech industry and policies […]

Categories
Uncategorized

Uganda: 20 People Arrested in Connection with 42 Students Massacre

At least 20 people have been arrested by Ugandan police in connection with the massacre that left 42 students dead. The victims were killed in a suspected rebel attack by the Allied Democratic Forces (ADF), Ugandan militants with Islamic State group ties, where they were burned, shot, or hacked to death students in Lhubiriha Secondary […]

Categories
Uncategorized

Rongai: Mama awaua watoto wake wawili, ajijeruhi mwenyewe na mume wake

Wakaazi wa Rongai, hivi leo wameamka na habari ya kushtua kufuatia tukio lililotokea katika eneo hilo asubuhi. Walakini, kama ilivyoripotiwa na vyanzo vingi, inaonekana kuwa mwanamke aliwaua watoto wake wawili na kumwacha mumewe katika hali mbaya baada ya kuendelea na kusitasita juu ya shida za nyumbani. Hata hivyo imesemekana kuwa mwanamke huyo alionekana akijaribu kujiua […]

Categories
Climate Change Latest News Uncategorized

Pembe ya Afrika- Watoto Zaidi ya Millioni Saba Wamesalia Utapiamlo

Zaidi ya watoto milioni saba walio chini ya umri wa miaka mitano wamesalia na utapiamlo na wanahitaji msaada wa haraka wa lishe, na zaidi ya wavulana na wasichana milioni 1.9 wako katika hatari ya kufariki kutokana na utapiamlo mkali . Jamii zilizo katika mazingira magumu zimepoteza ng’ombe, mazao, na maisha mengi katika kipindi cha miaka […]

Categories
Health Latest News Uncategorized

Abdulswamad Nassir: Huduma za Afya Zisizo na Malipo kwa Watoto Walio Chini ya Umri wa Miaka Mitano

Gavana wa Mombasa Abdulswamad Nassir ametangaza huduma za afya bila malipo kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano katika Hospitali ya Rufaa ya Pwani (CGTRH) na vituo vyake vyote vya mawasiliano. Nasir pia alifichua kuwa kaunti imeanza mipango ya kuanza kugharamia bili za matibabu kwa wagonjwa walio na mahitaji na vile vile kusajili […]

Categories
Uncategorized

Kenya: Magavana Kutenga Fedha kwa Ajili ya Programu za Watoto

Wanaharakati wa kutetea haki za watoto katika kaunti ya Bungoma wamewataka Magavana kutenga pesa kusaidia mipango ya watoto katika kaunti hiyo. Akizungumza katika shule ya Xavarian Brothers’s kaunti ya Bungoma wakati wa kongamano la watoto David Lupao mwenyekiti wa shirika la kutetea haki za watoto kaunti ya Bungoma BCCRN amesema kuwa watoto wengi wanakumbwa na […]

Categories
Uncategorized

African Children Summit: Children Presents Kigali Declaration to Policy Makers

Children participants in the African Children Summit on Wednesday presented and handled over Kigali Declaration on Child Care and Protection Reform to policy makers in UN, AU, the Judiciary and the committee on the Rights and Welfare of African Child. The children hope that with the Declaration in hands of policy makers the challenges and […]

Categories
Uncategorized

Should children be seen and not heard???

  “In today’s world children have become strong advocates and change makers where they stand up for their right to education, speak up against violence, and fight for climate and social justice.” Says Daniel Mulati, Summit Coordinator and Child Participation Manager at Mtoto News, earlier today on 6th April 2023 at a press conference in […]

Categories
Uncategorized

TikTok Yatozwa Faini ya Karibu Kshs Trilioni 2 kwa Kushindwa Kulinda Faragha ya Watoto

Uchunguzi uliofanywa na Ofisi ya Kamishna wa Habari (ICO) uligundua kuwa programu hiyo ya kushiriki video ilikiuka sheria ya ulinzi wa data. Inasema kuwa, ukiukaji huo ulifanyika kati ya Mei 2018 na Julai 2020. Mnamo Septemba, ICO iliwapa TikTok  “notisi ya dhamira” – mtangulizi wa kutoa faini inayoweza kutokea. ICO inakadiria kuwa, TikTok iliruhusu hadi […]

Categories
Child Rights Health Uncategorized

Ukosefu wa Vifaa vya Kutosha vya Kusaidia na Kuhudumia Watoto Walio na Tawahudi

Wadau na wazazi walio na watoto walioathiriwa na usonji wamejitokeza na kutoa wito kwa serikali ya kitaifa na kaunti kuweka vifaa vitakavyowahudumia na kusaidia katika maendeleo ya watoto hao. Akihutubia wanahabari huko Uriri wakati wa Siku ya Autism Duniani, Caroline Kisuge wa Jonathan Rays of Hope alisema kuwa nchi haina vifaa vya kujifunzia ambavyo vinaweza […]