mtoto.news

Categories
Latest News

Kilio Juu Ya Ongezeko La Watoto Ombaomba wa Kigeni

Kamishna wa Kaunti ya Laikipia, Joseph Kanyiri, amesema kwamba, ombaomba hao walio na umri mdogo wanaaminika kutoka nchi jirani na wengi wao wanapatikana katika miji ya Nyahururu na Nanyuki. “Wamekuwa kichocho na hata wafanyabiashara wanalalamika kwa uwepo wao, kwani wanakaribia wanunuzi nje ya maduka makubwa wakiwa na bakuli za kuomba na wengi wao wanaendeshwa na […]