mtoto.news

Categories
Child Rights Uncategorized

Mahakama Kushughulikia Upya Kesi za Akina Mama Walio na Watoto Gerezani

Idara ya Jimbo la Huduma za Urekebishaji na Idara ya Mahakama zimeanza kushughulikia kuondoa msongamano magerezani hasa katika mchakato unaolenga wakosaji wa uhalifu mdogo mdogo, pamoja na akina mama. Katibu Mkuu katika Idara hiyo Mary Muthoni,  alifanya ziara ya ghafla hapo Jumatatu katika Gereza la Nakuru ambapo alisema kwamba, hatua hiyo ililenga kupunguza mateso ya watoto […]