mtoto.news

Categories
Health Latest News

WHO Warns of Killer Cough Syrups after 300 Children Fatalities

World Health Organization has raised alarm over killer cough syrups which as caused more than 300 children fatalities in three counters. The children mainly aged under 5 – in the Gambia, Indonesia and Uzbekistan died of acute kidney injury, This a third warning issued by WHO against the use of two types of cough syrups produced in […]

Categories
Health Latest News

Dawa za sharubati zapigwa marufuku baada ya vifo vya watoto 99.

Vifo vya karibu watoto 100 nchini Indonesia vimesababisha nchi hiyo kusimamisha uuzaji wa dawa zote za sharubati. Ni wiki chache tu baada ya dawa ya kikohozi nchini Gambia kuhusishwa na vifo vya karibia watoto 70. Indonesia imesema kwamba, baadhi ya dawa za sharubati zimepatikana kuwa na viambato vinavyohusishwa na majeraha ya figo (AKI), ambayo yameua […]

Categories
Health Latest News

Vifo vya watoto nchini Gambia vimehusishwa na dawa za kikohozi zilizotengenezwa India

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tahadhari hapo Jumatano kuhusu dawa nne za kikohozi na baridi zilizotengenezwa na Maiden Pharmaceuticals nchini India, na kuonya kuwa zinaweza kuhusishwa na vifo vya watoto 66 nchini Gambia. Shirika la afya la Umoja wa Mataifa pia limetahadharisha kwamba dawa zilizoambukizwa huenda zilisambazwa nje ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi, […]