Washirika wa afya wako tayari kutumia mkakati wa chanjo ya nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watoto walio katika maeneo ya mbali wanapokea dozi za surua-rubela. Wizara ya Afya kwa ushirikiano na Unicef na Gavi wanaendesha kampeni ya siku 10 ya chanjo katika kaunti saba zilizo hatarini zaidi za Mandera, Wajir, Garissa, Turkana, Pokot Magharibi na […]
Tag: Measles Vaccine Campaign

The Ministry of Health has announced it will begin carrying out a measles vaccination campaign in six counties where the risk of infection is high. This was as a result of confirmed measles and rubella cases in some counties. The counties targeted by this campaign are Nairobi, Mandera, Turkana, Marsabit, West Pokot and Garissa. This […]