mtoto.news

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Tetemeko la ardhi Uturuki/Syria;Watoto walioachwa yatima wanakabiliwa na mustakabali usio na uhakika

Kila mtoto ana haki ya kuwa na afya njema na kukuzwa katika mazingira salama na safi. Kila mtoto ana haki ya kuishi na kukua kwa njia bora zaidi, ila baada ya mtetemeko wa ardhi huko maeneo ya Uturuki na Syria watoto wengi wameachwa katikati ya ghasia, uharibifu na machafuko. Aya alizaliwa chini ya vifusi vya […]