mtoto.news

Categories
Latest News

Unicef ​​yazindua programu ya kufuatilia kipindi cha hedhi kwa wasichana nchini Kenya

  Hedhi ni mchakato wa kawaida katika maisha ya kila mwanamke, lakini mara nyingi hufunikwa na usiri na aibu. Takriban wanawake na wasichana milioni 9.3 nchini Kenya hupata hedhi. Mara nyingi wasichana waliofikisha umri wa kubalighi hutafuta majibu kuhusu afya yao ya hedhi ila mara nyingi huambulia patupu. Ili kukabiliana na changamoto hii, Unicef ​​imezindua […]