mtoto.news

Categories
Feature Stories

Ukiukaji wa haki za watoto unafaa kuangaliwa.

Ukiukaji wa haki za watoto umeendelea kuwa tishio sugu. Hii imeonyeshwa na shirika la WHO ambayo inasema kuwa kimataifa, inakadiriwa kuwa watoto milioni moja kutoka miaka miwili hadi kumi na saba ndio wamepitia ukiukaji wa haki kimwili, kihisia na pia kingono. https://www.who.int/news-room/fact-sheets/detail/violence-against-children Nchini Kenya, ukiukaji wa haki za watoto hususan hutokea nyumbani, shuleni na pia […]