mtoto.news

Categories
Uncategorized

Tuwaepushe watoto kutokana na dhuluma na habari potovu mitandaoni.

Waziri wa mawasiliano Joe Mucheru amewalaumu wazazi kwa kukosa kukagua wavuti wanazoingia watoto wao. Alisema haya mwaka jana katika hafla ya uzinduzi wa programu ya kuwalinda watoto mitandaoni, iliyoasisiwa na Mama wa Taifa, Bi Margaret Kenyatta jijini Nairobi. Aliongezea alisema kuwa, kuweka nywila(pini) kwenye simu na vifaa za wavuti, sio suluhisho tu ya kuwalinda watoto […]

Categories
Data Stories Fact Checks

HIV and AIDS is still on the rise especially to children.

Of the estimated 38.4 million people living with HIV worldwide in 2021, 2.73 million were children aged 0–19. Each day in 2021, approximately 850 children became infected with HIV and approximately 301 children died from AIDS related causes, mostly because of inadequate access to HIV prevention, care and treatment services. In 2021, around 160,000 children […]

Categories
Data Stories

Teenage pregnancies is still on the rise

Kenya has been ranked third globally as having high incidences of teenage pregnancies. Data from demographic and health surveys shows that two out of 10 girls between the age of 15 and 19 years is pregnant or has a child already. This is devastating because some of these teenagers end up not achieving their career […]

Categories
Uncategorized

Hadithi za kiafrika zisomwe shuleni.

Watoto wafrika wamelelewa katika jamii ambayo imejaa mila na utamaduni wa kimagharibi. Mara nyingi, vitabu na filamu za kiafrika ni chache katika jamii zikilinganishwa na zile za wazungu. Hii ni changamoto kubwa kwa sababu watoto wakiafrika hukuwa wakiiga tabia za kimagharibi. Hivyo kufanya mila na utamaduni wa kiafrika kudidimia au kutokuwa na maana. Licha ya […]

Categories
Education

School clubs can be life changing to our children

Clubs are meant to equip learners with skills to help them in future. Being an organization of people with a common purpose or interest, who meet regularly and take part in shared activities. Clubs should be able to equip students and pupils with the necessary skills to help them in future. In Kenya the Ethics […]

Categories
Latest News

15 year old kills siblings in Kiambu county

Shock as 15 year old girl confesses to killing her siblings aged 15 months, 5 years and 7 years in the months of  July, August and September 2021. The form one girl also confesses to have drowned her 20 months old cousin at Gathiga village, Kabete sub county, in a well in their compound in […]

Categories
Health

Let’s try and talk to our adolescents on issues affecting their mental health.

Unlike in the past when there was not much involvement of the internet space. It was rare for children to suffer depression and anxiety. Globally, one in seven 10-19-year-olds experiences a mental disorder, accounting for 13% of the global burden of disease in this age group. Depression, anxiety and behavioural disorders are among the leading […]

Categories
Fact Checks Health

Menstrual products should be given free to girls in schools.

 Roughly half of the female population around 26 percent of the global population are of reproductive age. This signifies an important transition to womanhood. As menstruation is a natural and healthy process for girls and women of reproductive age. It should be followed by great support of affordable menstrual products. Research done by Menstrual Hygiene […]

Categories
Feature Stories

Ukiukaji wa haki za watoto unafaa kuangaliwa.

Ukiukaji wa haki za watoto umeendelea kuwa tishio sugu. Hii imeonyeshwa na shirika la WHO ambayo inasema kuwa kimataifa, inakadiriwa kuwa watoto milioni moja kutoka miaka miwili hadi kumi na saba ndio wamepitia ukiukaji wa haki kimwili, kihisia na pia kingono. https://www.who.int/news-room/fact-sheets/detail/violence-against-children Nchini Kenya, ukiukaji wa haki za watoto hususan hutokea nyumbani, shuleni na pia […]

Categories
Education

Vilabu vya shule vinasaidia katika kukuza talanta ya watoto.

Katika nchi ya Kenya, kutoka shule ya msingi na upili shughuli za ziada za masomo hufanyiwa katika vilabu vya shule. Shughuli hizi mara nyingi huwa ni za kuwawezesha wanafunzi kujaribu kufanya vitu tofauti na masomo. Mifano ya shughuli hizi ni kama kucheza mpira, kushona nguo, kuchora, kucheza vifaa za muziki na kadhalika. Aidha, vilabu hizi […]