mtoto.news

Categories
Uncategorized

Hadithi za kiafrika zisomwe shuleni.

Watoto wafrika wamelelewa katika jamii ambayo imejaa mila na utamaduni wa kimagharibi. Mara nyingi, vitabu na filamu za kiafrika ni chache katika jamii zikilinganishwa na zile za wazungu. Hii ni changamoto kubwa kwa sababu watoto wakiafrika hukuwa wakiiga tabia za kimagharibi. Hivyo kufanya mila na utamaduni wa kiafrika kudidimia au kutokuwa na maana. Licha ya […]