mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

Uzinduzi wa Mpango Wa Kuwalinda Watoto Dhidi Ya Ukatili

  Kamati ya Kimataifa ya Maendeleo ya Watu (CISP) imezindua mradi wa Tetea hapo jana tarehe 20 mwezi juni, unaofadhiliwa na Muungano wa Ulaya wa kulinda wanawake na watoto dhidi ya dhuluma katika Kaunti ya Kakamega. Mradi huo utatekelezwa na CISP kwa ushirikiano na Shirika Lisilo la Kiserikali la eneo hilo, Kakamega County Widows Empowerment […]