mtoto.news

Categories
Child Rights latest latest Latest News

Takriban watoto 100,000 waathiriwa na mtetemeko wa ardhi nchini Morocco

Ripoti za awali zinaonyesha kwamba takriban watoto 100,000 wameathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Moroko Ijumaa usiku wa kuamkia leo. Hilo ni tukio kubwa zaidi la tetemeko kuwahi kukumba eneo hilo tangu mwaka wa 1960. Kama ilivyo kwa matetemeko yote makubwa ya ardhi, kuna uwezekano wa kutokea mitetemeko ya baadaye katika siku na wiki […]