mtoto.news

Categories
Latest News

Kenya: Wasiwasi Juu ya Mmiminiko wa Watoto Walemavu Mijini

Dkt Marion Karimi ambaye anaendesha kituo cha uokoaji na ukarabati wa watoto walemavu alikashifu kuwa katika miaka ya hivi majuzi idadi ya watoto wenye matatizo ya kimwili imekuwa ikiongezeka. Karimi ambaye kwa sasa anakarabati watoto 177 walemavu waliookolewa kutoka sehemu tofauti za nchi alibainisha kuwa watoto hao huwa wanatumiwa vibaya na watu wasiojulikana ili kuomba […]