mtoto.news

Categories
Data Stories Education Education education

Je Elimu ni Gharama?

Naam, mara nyingi kila mtu huimba, “Elimu kwa wote”, “Elimu ya bure”, ila ukweli wa mambo ni kwamba, elimu iko na bei ya juu mno, jambo linalowafanya watoto wengi wakose kupata masomo. Ahadi ya elimu ya msingi na sekondari kwa wote ni mojawapo ya Malengo ya Maendeleo Endelevu . Hata hivyo mwaka wa 2020, takriban watoto milioni 64 […]

Categories
Education Latest News

Primary School Pupils Most Likely to Abuse Prescription Drugs-NACADA

Primary school pupils are most likely to abuse prescription drugs according to new report by the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) The report indicate that prevalence percentage of prescription drug abuse is at 10.4 per cent among pupils, followed by alcohol at 7.2 percent. Tobacco usage among the pupils […]

Categories
Education Education education Latest News

Zaidi Ya Wanafunzi 4,000 Wapokea Ufadhili Uliosalia Sh. Milioni 25.5

Zaidi ya wanafunzi 4,000 kutoka eneo bunge la Isiolo Kaskazini watapokea Sh. milioni 25.5 kama ufadhili katika jitihada za kuhakikisha kwamba wanafunzi wanasalia shuleni licha ya ukame unaoshuhudiwa na gharama kubwa ya maisha nchini.     Kulingana na Mbunge wa Isiolo Kaskazini Bw Joseph Samal ambaye amezindua Sh. Milioni 25.5 za ufadhili zitakazowanufaisha wanafunzi 4,326 kutoka jimboni […]

Categories
Education Latest News

MOE has Formed Committee to Combat LGBTQ Agenda in Schools-Machogu

Education Cabinet Secretary Ezekiel Machogu last week revealed that the Ministry has developed a strategy to combat infiltration of LGBTQ agenda in Kenyan schools. He said a committee consisting of officials from the Ministry and has been formed look into the LGBTQ issue and come up with possible solution to counter its infiltration in schools. […]

Categories
Education Uncategorized

Je elimu ya ngono ni muhimu kwa watoto?

  Kulingana na Utafiti wa Demografia na Afya wa Kenya wa 2022, asilimia 15 ya wasichana wenye umri wa kati ya miaka 15 na 19 wamewahi kupata mimba. Takwimu hii huongezeka kila wanakuwa wakubwa kutoka asilimia 3 kati ya watoto wa miaka 15 hadi asilimia 31 kati ya wale wenye umri wa miaka 19. Hii […]

Categories
Education Latest News

Tanzania Abolishes Boarding for Lower Primary Pupils

Tanzania has abolished boarding school for nursery up to Standard Four pupils, effective from March 1. The Education Ministry said this will allow children and their parents to create a bond while at the same time to allowing children to receive parental care, build values and participate in various community activities. However, a special permit […]

Categories
Education Education education

Wizara yawashinikiza wazazi na walezi kuwapeleka watoto shuleni

  Katika azma yake ya kufikia mabadiliko ya asilimia 100 kutoka shule ya msingi hadi ya upili, Utawala wa Serikali ya Kitaifa na Wizara ya Elimu wanapanga kufanya msako wa nyumba hadi nyumba, ili kuwatafuta wanafunzi waliopotea ambao walifanya mtihani wao wa Cheti cha Elimu ya Sekondari nchini Kenya mwaka jana. Kundi la viongozi katika […]

Categories
Education Latest News

Form One Student Dies After Alleged Assault by Teachers

A 16- year-old Form One student from Chemase secondary school has died after he was allegedly assaulted by his teachers. Kelvin Kiptanui is said to have died hours after he was admitted at Nandi-Hills level 4 in critical condition. The student, who was hardly two weeks old at the institution, is reported to have been […]

Categories
Child Rights Education Education education

Wazazi Waonywa Dhidi ya Kuwatelekeza Watoto Wao

Wazazi katika Kaunti ya Pokot Magharibi wameonywa dhidi ya kukwepa majukumu yao ya uzazi, na kuhimizwa kutanguliza elimu ili kukuza vizazi  vya kesho. Kamishna Msaidizi wa Kaunti ya Tapach (ACC) Ibrahim Masiaga alibainisha kuwa, ofisi yake imekuwa ikishughulikia visa vingi vya utelekezaji wa watoto, haswa katika suala la watoto wale waliokusudiwa kuvuka kidato cha kwanza […]

Categories
Education Latest News

MP Nyoro Waives Day School Fees to Sh1,000 in Kiharu

About 14,000 learners in 60 Day Secondary Schools in Kiharu Constituency, Muranga County are set to benefit from Ksh 1,000 per term school fee program. This is after the area Member of Parliament, Ndindi Nyoro, launched kiharu masomo bora program which aims to alleviate fees burden and promote education accessibility and equality. In essence parents […]