mtoto.news

Categories
Education Latest News

MOE has Formed Committee to Combat LGBTQ Agenda in Schools-Machogu

Education Cabinet Secretary Ezekiel Machogu last week revealed that the Ministry has developed a strategy to combat infiltration of LGBTQ agenda in Kenyan schools. He said a committee consisting of officials from the Ministry and has been formed look into the LGBTQ issue and come up with possible solution to counter its infiltration in schools. […]

Categories
Education Education education

Wizara yawashinikiza wazazi na walezi kuwapeleka watoto shuleni

  Katika azma yake ya kufikia mabadiliko ya asilimia 100 kutoka shule ya msingi hadi ya upili, Utawala wa Serikali ya Kitaifa na Wizara ya Elimu wanapanga kufanya msako wa nyumba hadi nyumba, ili kuwatafuta wanafunzi waliopotea ambao walifanya mtihani wao wa Cheti cha Elimu ya Sekondari nchini Kenya mwaka jana. Kundi la viongozi katika […]

Categories
Education Latest News

MOE; Grade Seven Learners to Take up to 12 Subjects

Pioneer Grade Seven learners, who began their junior secondary education this week, are studying more subjects compared to their 8-4-4 counterparts in Standard Seven. Grade seven pupils will take up to twelve subject according to the Ministry of education. This pioneer class will take an additional seven subjects from the previous five in the 8-4-4 […]

Categories
Education Education education Latest News

Wazazi waghadhabishwa na picha za watoto wakitoa kuku manyoya wakati wa mafunzo ya CBC

Wazazi wengi wameonyesha hasira yao mitandaoni baada ya picha ya wanafunzi wakitoa kuku manyoya kusambaa mitandaoni. Wananchi walionyesha wasiwasi kupitia twitter, huku wakikashifu mtaala wa CBC na wakisema kwamba, usalama wa watoto hao haukuzingatiwa kamwe, kwani kulikuwa na utumiaji wa visu na maji ya moto wakati wa matayarisho hayo ya kuku. I don't like CBC […]

Categories
Education Education education Latest News

Shule Kadhaa Kusalia Kufungwa Jumatatu

Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]