mtoto.news

Categories
Education Education education Latest News

Vikwazo, Shule Zinapofunguliwa

Shule zote zilizo Afrika Mashariki zinaanza muhula wa kwanza mwaka huu, huku zikikumbatiwa na hali ya kusumbua ya mara kwa mara ya kutafuta rasilimali ili kuhakikisha kwamba, elimu haina gharama kubwa. Kutoka Tanzania hadi Rwanda, Kenya na Uganda, msururu wa vifaa duni vya kujifunzia, walimu, msongamano wa wanafunzi na mkanganyiko wa ada utatawala wiki hii ya […]

Categories
Education Education education Latest News

Kenya: Wadau wa Elimu Wajitolea Kufundisha usimbaji(coding)Shuleni

Chama cha Shule za Kimataifa cha Kenya (KAIS) kwa ushirikiano na kampuni ya Education Technologies, Kodris Africa na Kenya Commercial Bank waliitisha kongamano la ujuzi wa Kidijitali mnamo Alhamisi lililowaleta pamoja wadau mbalimbali kutoka sekta ya elimu na ICT. Tukio hilo lilijikita katika mtaala wa kompyuta na usimbaji (coding)na umuhimu wa kujumuisha ujuzi wa kidijitali […]

Categories
Education Education education

Kenya Yashika Mkondo wa Uafikishaji wa Lengo la Upatikanaji wa Elimu kwa Wote

  Mtaalamu Mwandamizi wa Mpango wa Elimu katika Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO),Saidou Sireh Jallow, aliliambia kongamano la elimu kuwa Kenya imeweka kipaumbele katika uwekezaji wa umma katika elimu, hii ikisababisha mwelekeo wa kupanda kwa viashiria vingi vya maendeleo ya elimu. . […]

Categories
Education Education education

Waziri wa Elimu Atupilia Mbali Mada ya Kuongezwa kwa Muhula

Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]

Categories
Education education Stories by Children

Why We Should Make Better Choices for Our Children

Kenya is a step closer to being a 2nd world country. If we are trying to bring our country to being a 1st world, it would be best to take time and look at the current 1st world countries. The USA for example. Why aren’t we hearing cases about education there? Why is it us? […]