Written by Alice Njoki Kenya’s Basic Education Bill, 2026 is proposing tougher consequences for parents and guardians who fail to enrol their children in school or do not ensure they attend regularly. The Bill, sponsored by National Assembly Majority Leader Kimani Ichung’wah, is currently before Parliament and seeks to strengthen Kenya’s commitment […]
Tag: education in Kenya
written by Alice Njoki “Free Education In Kenya” Millions Allocated But Many Children Still Struggle in Poor Classrooms and Unequal Schools. President William Ruto recently said that the government cannot fund schools to be entirely free. He explained that even though education takes a huge part of the national budget, […]
Shule zote zilizo Afrika Mashariki zinaanza muhula wa kwanza mwaka huu, huku zikikumbatiwa na hali ya kusumbua ya mara kwa mara ya kutafuta rasilimali ili kuhakikisha kwamba, elimu haina gharama kubwa. Kutoka Tanzania hadi Rwanda, Kenya na Uganda, msururu wa vifaa duni vya kujifunzia, walimu, msongamano wa wanafunzi na mkanganyiko wa ada utatawala wiki hii ya […]
Chama cha Shule za Kimataifa cha Kenya (KAIS) kwa ushirikiano na kampuni ya Education Technologies, Kodris Africa na Kenya Commercial Bank waliitisha kongamano la ujuzi wa Kidijitali mnamo Alhamisi lililowaleta pamoja wadau mbalimbali kutoka sekta ya elimu na ICT. Tukio hilo lilijikita katika mtaala wa kompyuta na usimbaji (coding)na umuhimu wa kujumuisha ujuzi wa kidijitali […]
Mtaalamu Mwandamizi wa Mpango wa Elimu katika Ofisi ya Kanda ya Afrika Mashariki ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO),Saidou Sireh Jallow, aliliambia kongamano la elimu kuwa Kenya imeweka kipaumbele katika uwekezaji wa umma katika elimu, hii ikisababisha mwelekeo wa kupanda kwa viashiria vingi vya maendeleo ya elimu. . […]
Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]
Waziri wa Elimu George Magoha ametangaza kwamba tarehe ya kufunguliwa kwa shule imebadilishwa kutoka Jumatatu 15 hadi Alhamisi 18, 2022.
Kenya is a step closer to being a 2nd world country. If we are trying to bring our country to being a 1st world, it would be best to take time and look at the current 1st world countries. The USA for example. Why aren’t we hearing cases about education there? Why is it us? […]