mtoto.news

Categories
Education Education education Latest News

Vikwazo, Shule Zinapofunguliwa

Shule zote zilizo Afrika Mashariki zinaanza muhula wa kwanza mwaka huu, huku zikikumbatiwa na hali ya kusumbua ya mara kwa mara ya kutafuta rasilimali ili kuhakikisha kwamba, elimu haina gharama kubwa. Kutoka Tanzania hadi Rwanda, Kenya na Uganda, msururu wa vifaa duni vya kujifunzia, walimu, msongamano wa wanafunzi na mkanganyiko wa ada utatawala wiki hii ya […]

Categories
Education Uncategorized

Hofu ya Usalama wa Watoto Baada ya Matokeo ya Uchaguzi Kutangazwa

Wazazi wamesema kuwa, huenda wasiwaachilie watoto wao warudi shuleni hadi watakapohakikisha kuwa, hali ya kisiasa ipo salama kwa wanafunzi.