mtoto.news

Categories
Education Education education

Waziri wa Elimu Atupilia Mbali Mada ya Kuongezwa kwa Muhula

Waziri wa Elimu George Magoha amefutilia mbali kuongezwa kwa kalenda ya shule baada ya shinikizo kutoka kwa wakuu wa shule wa sekta ya elimu. Akizungumza baada ya kufungua madarasa ya mtaala unaozingatia umahiri huko Njiru, Magoha alisema kuwa wizara ina nia ya kuhakikisha kalenda ya shule inarudi kuwa ya kawaida mnamo Januari. Alisema kuwa kufikia […]

Categories
Education Education education Latest News

Shule Kadhaa Kusalia Kufungwa Jumatatu

Waziri wa Elimu George Magoha anasema kuwa, shule zilizo katika maeneo manane ya uchaguzi ambapo uchaguzi mdogo unatarajiwa kufanyika Jumatatu zitasalia kufungwa kwa siku moja. Magoha alisema kwamba, uamuzi huo umechukuliwa ili kufungua njia kwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutumia vituo hivyo kama vituo vya kupigia kura. “Watoto wanaweza kukaa nyumbani Jumatatu […]

Categories
Education latest latest Latest News

Parents Disappointed Over CS Magoha’s Extension of the Reopening of Schools

Kenyan parents have displayed their disappointment over the public announcement made by Education CS Magoha to extend the reopening of schools. The Education CS publicized this on Saturday 13, 2022, pushing the date for the reopening of schools from Monday, August 15 to Thursday, August 18. The changes had been influenced by the delay in […]

Categories
Uncategorized

Education CS Encourages Parents to Enroll their Children in Day Schools

By Raisa Okwaras, Kenya Education Cabinet Secretary (CS) George Magoha insists that the new education curriculum is demystifying the notion that boarding schools in the country are better than day schools. He highlighted this at Kariobangi North Girls’ High School last week during the commissioning of the newly built classes for the junior secondary school […]