Mnamo juzi tarehe 15 mwezi wa 11, mwaka wa 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF Catherine Russell alifanya Ziara maeneo ya Gaza ili kukutana na watoto, familia zao na wafanyakazi wa UNICEF. “Nilichoona na kusikia kilinihuzunisha sana. Wakaazi wa Gaza wamestahimili mashambulizi ya mara kwa mara, hii ikiwemo kuuwawa, kupoteana na familia zao, Kufukuzwa majumbani mwao […]
Tag: children deaths
Kumekuwa na upungufu kwa asilimia 30 kwa idadi ya watoto wanaokufa kabla ya kufikisha miaka mitano. Hii imechangiwa na kuongezeka kwa unywaji wa ORS na Zinki kwa ajili ya udhibiti wa kuhara kwa watoto walio chini ya miaka mitano na kuboreshwa kwa unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee. Kuanzishwa kwa chanjo mpya za utotoni kama […]