mtoto.news

Categories
Op-ed Op-ed

Where Do I Stand??

It has been four months and twelve agonizing days of relentless genocide on Palestine. The images and videos making rounds on Social media haunt me. Children who are innocent and pure are now victims of a never-ending violence. Their hungry cries cut through the chaos while their tiny bodies bears the scars of a war […]

Categories
Child Rights Latest News

GAZA: Zaidi ya Watoto 4,600 Wauwawa huku Karibia 9000 Wajeruhiwa

Mnamo juzi tarehe 15 mwezi wa 11, mwaka wa 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF Catherine Russell alifanya Ziara maeneo ya Gaza ili kukutana na watoto, familia zao na wafanyakazi wa UNICEF. “Nilichoona na kusikia kilinihuzunisha sana. Wakaazi wa Gaza wamestahimili mashambulizi ya mara kwa mara, hii ikiwemo kuuwawa, kupoteana na familia zao, Kufukuzwa majumbani mwao […]

Categories
latest latest Latest News

Uganda: Yoweri Museveni Alaani shambulizi, Anatoa Pole kwa Familia za Wanafunzi Waliopoteza Maisha

Kila mtoto ana haki ya kuishi na serikali lazima ihakikishe kwa kadiri iwezekanavyo maisha mema na ukuaji wa mtoto, lakini hilo linatiliwa shaka wakati mashambulizi ya waasi wa ADF yalipogharimu maisha ya watoto 42 wasio na hatia usiku wa Juni 16, 2023. Kwa mujibu wa polisi, shule ya sekondari ya Lhubirira iliyoko Mpondwe iliyoko kilomita […]