It has been four months and twelve agonizing days of relentless genocide on Palestine. The images and videos making rounds on Social media haunt me. Children who are innocent and pure are now victims of a never-ending violence. Their hungry cries cut through the chaos while their tiny bodies bears the scars of a war […]
Tag: war on children
Mnamo juzi tarehe 15 mwezi wa 11, mwaka wa 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF Catherine Russell alifanya Ziara maeneo ya Gaza ili kukutana na watoto, familia zao na wafanyakazi wa UNICEF. “Nilichoona na kusikia kilinihuzunisha sana. Wakaazi wa Gaza wamestahimili mashambulizi ya mara kwa mara, hii ikiwemo kuuwawa, kupoteana na familia zao, Kufukuzwa majumbani mwao […]
Kila mtoto ana haki ya kuishi na serikali lazima ihakikishe kwa kadiri iwezekanavyo maisha mema na ukuaji wa mtoto, lakini hilo linatiliwa shaka wakati mashambulizi ya waasi wa ADF yalipogharimu maisha ya watoto 42 wasio na hatia usiku wa Juni 16, 2023. Kwa mujibu wa polisi, shule ya sekondari ya Lhubirira iliyoko Mpondwe iliyoko kilomita […]