mtoto.news

Categories
Health Uncategorized

Ongezeko la kesi za utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa watoto

Inasikitisha sana kuona kwamba kila kukicha kunakuwa na taarifa za kukamatwa kwa wauza dawa za kulevya katika nchini Kenya. Katika mahojiano na Afisa wa Marekebisho ya Gucha, Elijah Omanga, Kenya News Agency,  ilibaini kuwa kuna ongezeko la mara kwa mara la visa vya utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa watoto wanaosoma shule katika eneo […]