mtoto.news

Categories
Data Stories Health

Samburu Yaongoza kwa Idadi ya Mimba za Utotoni: Ripoti ya KDHS 2022

Kulingana na ripoti ya KDHS iliyotolewa leo, Kaunti ya Samburu inaongoza na asilimia 50 ya mimba za utotoni, huku Kaunti ya Nyeri na Nyandarua ikiwa na asilimia 5. Ripoti hiyo iliyofanywa na Utafiti wa Idadi ya Watu na Afya Nchini Kenya(KDHS),  kuanzia Februari 17 hadi Julai 13, 2022, ilihusisha takriban kaya 37,911. Ripoti hiyo imeangazia […]