mtoto.news

Categories
Child Rights Latest News

Family Appeals for Help to Retrieve the body of their 12-year old Daughter Swept by Floods

The Kenya Red Cross has joined search for the body of a 12 -year old girl, Ashly Atika, who was swept away by floods In Kangemi, Nairobi County two weeks ago. The family of the young girl is still keeping vigil at Warugu river bank waiting for the recovery of the body for burial. According […]

Categories
Uncategorized

Sudan: Mafuriko, mashambulizi ya wanamgambo na njaa yatatiza masomo ya watoto

Kufuatia mvua kubwa na mafuriko nchini Sudan, makumi ya maelfu ya nyumba, visima na mashamba ya kilimo yameharibiwa huku familia 80,000 zikihitaji msaada wa kibinadamu makadirio ya Hilali Nyekundu ya Sudan (SRCS). Mashirika ya misaada yameonya kwamba, takriban kila mtoto aliye na umri wa kwenda shule nchini Sudan anakosa elimu, Baadhi ya majimbo nchini Sudan, […]

Categories
Data Stories latest latest Latest News Uncategorized

Pakistan: ‘Zaidi ya watoto milioni tatu wako hatarini’ UNICEF.

Zaidi ya watoto milioni tatu wanahitaji msaada wa kibinadamu na wako katika hatari kubwa ya magonjwa yanayotokana na maji, kuzama na utapiamlo kutokana na mafuriko makubwa zaidi katika historia ya hivi majuzi ya Pakistan