mtoto.news

Categories
Child Rights Education Latest News

Nairobi, Mombasa, Kisumu: Serikali yafunga shule za kutwa kutokana na maandamano

Shule za kutwa jijini Nairobi, Mombasa na Kisumu zimefungwa kwanzia Jumatano, Julai 19, 2023, kabla ya uanzishi wa maandamano wa siku tatu mfululizo wa kuipinga serikali ambayo mara nyingi yamekuwa na vurugu. Katika taarifa ya pamoja ya Jumanne, Julai 18, 2023, Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Elimu Ezekiel Machogu na Waziri wa Mambo ya […]

Categories
Fact Checks

FALSE: This image of ‘business as usual’ in a downtown Nairobi street amid 12 July 2023 protests is old.

This Image was Taken in 2019. This image on Facebook purportedly of a downtown Nairobi street teeming with activities amid the 12 July 2023 anti-government protests is FALSE. The image is of Luthuli Avenue in the Central Business District (CBD) of Kenya’s capital city with people going about their businesses. The post accompanying the image reads: “Forget […]

Categories
Child Rights Latest News

Ukiukaji wa Haki za Watoto Baada ya Wanafunzi 50 na Zaidi Kuathiriwa na Mabomu ya Machozi

Tume ya Kitaifa ya Jinsia na Usawa (NGEC) imelaani tukio la kuwarushia vitoa machozi wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kihumbuini huko Kangemi. Siku ya Jumatano, zaidi ya wanafunzi 50 walikimbizwa hospitalini baada ya polisi kuvamia vitoa machozi darasani mwao wakati wa maandamano ya kuipinga serikali. Katika taarifa iliyotolewa Alhamisi, mwenyekiti wa NGEC Joyce Mutinda […]