Shule za kutwa jijini Nairobi, Mombasa na Kisumu zimefungwa kwanzia Jumatano, Julai 19, 2023, kabla ya uanzishi wa maandamano wa siku tatu mfululizo wa kuipinga serikali ambayo mara nyingi yamekuwa na vurugu. Katika taarifa ya pamoja ya Jumanne, Julai 18, 2023, Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Elimu Ezekiel Machogu na Waziri wa Mambo ya […]