Washirika wa afya wako tayari kutumia mkakati wa chanjo ya nyumba hadi nyumba ili kuhakikisha watoto walio katika maeneo ya mbali wanapokea dozi za surua-rubela. Wizara ya Afya kwa ushirikiano na Unicef na Gavi wanaendesha kampeni ya siku 10 ya chanjo katika kaunti saba zilizo hatarini zaidi za Mandera, Wajir, Garissa, Turkana, Pokot Magharibi na […]
Tag: Measles Vaccine

Wizara ya afya nchini humo imesema kwamba, idadi ya vifo vya watoto vilivyotokana na Ugonjwa huo vimeongezeka hadi karibia 700.