mtoto.news

Categories
Latest News

Safaricom Kutambulisha Nambari Za Simu Kwa Watoto na Vijana

Safaricom itatambulisha nambari za simu kwa vijana, na kuwaruhusu kuokoa pesa kutumia M-Pesa, kutuma ujumbe mfupi na hata kupiga simu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Telco (Mkurugenzi Mtendaji) Peter Ndegwa, hata hivyo, alisema kwamba, nambari hizo zitasajiliwa chini ya maelezo ya wazazi. Kuanzishwa kwa laini hii, kutawawezesha vijana kupata huduma muhimu kama vile M-Pesa, na hivyo […]